Breaking

Showing posts with label DOCUMENTARY. Show all posts
Showing posts with label DOCUMENTARY. Show all posts
July 18, 2017

Una Matatizo ya Nguvu za Kiume? Basi Hii Inakuhusu

JE, UNA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME, KUKOSA HAMU YA TENDO, KUSHINDWA KURUDIA TENDO AU MAUMBILE MADOGO YA UUME? SOMA HAPA 👇👇👇👇 
Tatizo la kukosa au upungufu wa nguvu za kiume limekuwa kubwa sana, sio Tanzania tu bali duniani kote. Kupungukiwa nguvu za kiume na maumbile madogo sio ugonjwa ila ni dalili ya ugonjwa. Hii ina maana kuna dosari au udhaifu wa kiutendaji ndani ya mwili.

UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME HUSABABISHA MAMBO KAMA:-
☆Kukosa hamu ya tendo la ndoa 
☆Uume kusimama kwa ulegevu
☆Kuwahi kufika kileleni 
☆Kushindwa kurudia tendo kwa wakati
☆Kuchoka sana baada ya round ya kwanza na hata kukinai kabisa.
@Markson_beauty_pr Tunakuletea suluhisho la matatizo hayo hata kwa wenye kisukari kwa:-
1.HANDSOME UP ORIGINAL ni kifaa chenye uwezo wa 99% kuongeza uume kwa size uipendayo na kuimarisha misuli ya uume iliyolegea @220,000/=
2.SHARK POWER ni gely ya kupaka inayoongeza uume kwa wastani wa inch 6.5 @130,000/=
3.Vidonge maalum kwa ajili ya kuongeza nguvu na hamu ya tendo la ndoa hata kwa wenye kisukari @130,000/=
4.Spray ya kuchelewesha kufika kileleni na kurudia tendo hata mara 3 bila kuchoka @130,000/=
KWA BIDHAA HIZI NA NYINGINE NYINGI TEMBELEA UKURASA WETU WA INSTAGRAM :-
@Markson_beauty_pr 
@Markson_beauty_pr 
@Markson_beauty_pr. 
Wasiliana nasi Popote ulipo duniani kwa no (+255)
0767447444 na 0714335378
NB:Matokeo ni uhakika na garantii na hakikisha unapata risiti yenye muhuri halisi wa MARKSON CO pamoja na garantii ili kukuhakikishia kufanikiwa kwako. 
Bidhaa zetu zimetengenezwa kwa mimea na matunda na hazina kemikali wala madhara kwa mtumiaji. Zimethibitishwa kiafya.

July 15, 2017

Kama Wewe Mwanaume Una Tatizo La Kufika Kileleni Haraka Kabla Mpenzi Wako Hajaridhika Soma Hapa

Pre mature ejaculation ni nini?
Hii ni hali ambayo mwanaume anatoa mbegu mapema sana kipindi cha tendo la ndoa na mara nyingi huambatana na kushindwa kumridhisha mpenzi wake.

Tatizo hili limekua likiwapata wanaume wengi na kujisikia aibu mbele za wenzi wao pale wanaposhindwa kuendelea kabisa baada  ya hali hii kutokea.
Kimsingi  mwanaume anatakiwa achukue dakika nne mpaka nane kabla ya kutoa mbegu za kwanza lakini watafiti wanasema tatizo hili hugundukiwa mtu anapotoa mbegu ndani ya dakika moja au kabla ya dakika moja.
Tatizo hili huweza kutokea mara tu baada ya kubalehe,{primary pre mature ejaculation} mda mrefu baada ya kubalehe{secondary PE} au kutokana na aina ya mwanamke uliompata.{situational PE}

Chanzo ni nini?
Tatizo hili halina sababu za kitaalamu zilizofanyiwa utafiti zikakakubalika ila wanasayansi wanaamini sababu zifuatazo zinaweza kua chanzo kikuu cha tatizo hilo.

kupiga punyeto au kujichua; mara nyingi watu wanaopiga punyeto hua wanafanya haraka kwa kujificha ili wasikutwe na mtu. tabiaile ya kulazimisha mbegu zitoke haraka huweza kuleta tatizo hili.

kukaa muda mrefu bila kushiriki tendo la ndoa; kukaa mda mrefu sana bila kushiriki tendo la ndoa husababisha mkusanyiko mkubwa wa mbegu za kiume ambazo zinaleta msisimko mkubwa na ukichelewa sana kushiriki tendo la ndoa zitatoka kwenye ndoto nyevu. kawaida mwanaume anatakiwa ashiriki tendo angalau mara nne kwa wiki.

kuwa na wasiwasi wakati wa tendo la ndoa; mtu akiwa na historia ya kupata  hali hii kabla, hua hajiamini na kua na wasiwasi kwamba litatokea tena na matokeo yake hulipata kweli.

madhara ya dawa zinazofanya kazi kwenye mishipa ya fahamu; baadhi ya dawa za usingizi, mawazo na zingine zinazofanya kazi kwenye mishipa ya fahamu huleta tatizo hili mfano amitriptyline.

kurithi; baadhi ya koo au familia fulani hurithi vimelea vya kua na ugonjwa huu kwa vizazi mbalimbali vya familia husika.

Magonjwa ya mfumo wa uzazi wa mwanaume mfano prostatitis.

Diagnosis{ kuutambua ugonjwa]
Mwanaume yeyote ambaye anatoa mbegu chini ya dakika moja au mbili ni muhanga wa hili tatizo na anatakiwa apewe matibabu.
 

Matibabu

Matibabu ya ugonjwa huu yamegawanyika sehemu kuu mbili kulingana na ukali wa tatizo husika.
Non pharmacological treatment{matibabu yasiyo hitaji dawa}:  matibabu haya hupewa watu ambao wanahimili mpaka dakika tatu bila kutoa mbegu.
Pharmacological treatment{matibabu yanayohusu dawa}: matibabu haya hupewa watu ambao hutoa mbegu ndani ya dakika moja baada ya kuanza kushiriki tendo la ndoa, watu hawa hushauriwa kutumia na mbinu zote mbili za matibabu.

Yafuatayo ni matibabu yasiyohitaji dawa.

Tumia condom:

Condom ni moja ya tiba nzuri ya tatizo hili kwani hufanya kazi kwa kupunguza hisia kali za mapenzi mtu anazozipata pale ambapo hatumii condom.
Kandamiza perineum kwa kidole:Perineum ni eneo kati ya mkundu na korodani, ile sehemu ikikandamizwa na kidole huweza kuzuia kukojoa haraka wakati wa tendo la ndoa.
Punguza wasiwasi: hebu lifikirie tendo hili kama njia ya kujifurahisha sio njia pekee ya kutafuta kutoa mbegu,  hii itakusaidia kuondoa mawazo ya kutafuta mbegu na kuchelewa kumaliza.
Fanya taratibu: picha za ngono zinadanganya sana watu kwamba kulala na mwanamke lazima ufanye kwa haraka haraka kama mbwa. HAPANA; ukifanya taratibu ndio njia nzuri ya kumfikisha mwenzako na wewe kuchelewa kufika kileleni.

Badilisha style:

ile style ya zamani ya kumlalia mwanamke kwa juu{missionary position} inaleta msuguano mkubwa kwenye kichwa cha uuume hivyo itakufanya ufike haraka sana.
Tumia style ya wewe mwanaume kutangulia chini afu mwanamke juu au kulala kwa upande wote mnaangalia upande mmoja hii itakusaidia sana kuchelewa

Toa mawazo kwamba unafanya ngono: hebu jaribu kufikiria mambo mengine ya kikazi au masomo wakati unafanya tendo hilo, hii itakupunguzia hisia kali za mapenzi na kuchelewa kufika.

Fanya na kuacha: hii ni ile hali ya kuzuia msuguano pale unapoona unakaribia kutoa mbegu kwa kama sekundi 30 kisha unaanza upya. Hakikisha haufiki “point of no return”. pointi ambayo huwezi kujizuia tena kumaliza.

Kandamiza sehemu ya shingo la uume: hii sehemu ya shingo ya uume kwa chini ambayo ukiibana itakusaidia kuanza upya tena kihisia. Nimetumia shingo la uume kwasababu najua uume hauna mabega.

Tumia kilevi: unywaji wa pombe mfano bia mbili kwa siku kwa wanaume pombe hupunguza kidogo nguvu ya mishipa ya fahamu na kufanya mtu aliyekunywa kuchelewa sana kufika kileleni, [watu wanaokunywa pombe lazima mtakubaliana na hili] hivyo unaweza kunywa bia, wine au whisky nusu saa kabla ya tendo na kuondoa shida hii.

·    
Matibabu ya kutumia dawa.
hizi hupewa iwapo tatizo lako ni kubwa sana na hizo njia hapo juu zimeshindikana...
1. Serotonin reuptake inhibitors mfano paroxetine na  clomipramine zimefanya kazi nzuri ya kuzuia kufika kileleni haraka..... humezwa saa moja kabla ya tendo la ndoa.[dawa hizi hazipatikani ndani ya nchi hivyo tunaagiza nje, ukihitaji wasiliana nasi kwa namba hapo chini]

2. Anesthetic creams:  hii hupakwa kwenye kichwa cha uume saa moja kabla ya tendo la ndoa kuzuia msisimuko na kufanya mwanaume achelewe kufika kileleni wakati wa tendo.[dawa hizi hazipatikani ndani ya nchi hivyo tunaagiza nje kama ukihitaji wasiliana nasi kwa namba hapo chini]

July 06, 2017

China Yaikingia Kifua Korea Kaskazini...

Balozi wa China katika Umoja wa Mataifa, Liu Jieyi amesema kwamba suluhu ya nguvu za kijeshi inayotaka kufanywa na Marekani dhidi ya Korea Kaskazini haifai kupewa kipaumbele.

Liu Jieyi amesema hayo katika kikao cha dharura cha baraza la usalama la Umoja wa Mataifa akijibu hatua ya Korea Kaskazini kufanyia majaribio kombora lake la masafa marefu.

Hayo yamejiri baada ya Marekani kutangaza kuwa itatumia nguvu za kijeshi dhidi ya Korea Kaskazini ‘iwapo ni lazima’ kufuatia jaribio la kombora la masafa marefu lilotekelezwa na taifa hilo.

Liu Jieyi alirejelea wito wa China na Urusi kwa mazungumzo ya Korea Kaskazini kusitisha majaribio ya makombora iwapo Marekani na Korea Kusini zitasitisha mazoezi ya pamoja ya kijeshi.

Awali balozi wa Marekani katika Umoja wa mataifa Nikki Haley alisema kuwa vikwazo vya kimataifa vilivyowekewa Pyongyang kwa miaka kadhaa havitoshi.

Amesema kuwa vitendo vya Korea Kaskazini ni ishara za kuzuka kwa mgogoro duniani.

July 06, 2017

China Yaikingia Kifua Korea Kaskazini...

Balozi wa China katika Umoja wa Mataifa, Liu Jieyi amesema kwamba suluhu ya nguvu za kijeshi inayotaka kufanywa na Marekani dhidi ya Korea Kaskazini haifai kupewa kipaumbele.

Liu Jieyi amesema hayo katika kikao cha dharura cha baraza la usalama la Umoja wa Mataifa akijibu hatua ya Korea Kaskazini kufanyia majaribio kombora lake la masafa marefu.

Hayo yamejiri baada ya Marekani kutangaza kuwa itatumia nguvu za kijeshi dhidi ya Korea Kaskazini ‘iwapo ni lazima’ kufuatia jaribio la kombora la masafa marefu lilotekelezwa na taifa hilo.

Liu Jieyi alirejelea wito wa China na Urusi kwa mazungumzo ya Korea Kaskazini kusitisha majaribio ya makombora iwapo Marekani na Korea Kusini zitasitisha mazoezi ya pamoja ya kijeshi.

Awali balozi wa Marekani katika Umoja wa mataifa Nikki Haley alisema kuwa vikwazo vya kimataifa vilivyowekewa Pyongyang kwa miaka kadhaa havitoshi.

Amesema kuwa vitendo vya Korea Kaskazini ni ishara za kuzuka kwa mgogoro duniani.

July 06, 2017

MAMBO 10 Yaliyolivuruga Bunge la Bajeti....


Kuhitimishwa kwa Bunge la bajeti kumeacha kumbukumbu kumi muhimu ambazo kama ulikuwa hufuatilii kilichokuwa kikiendelea kwa siku hizo 92, leo tunakukumbusha.

Yapo mengi; yaliyofurahisha, yaliyotia simanzi na hata kufikirisha. Hayo yote yalijiri tangu Aprili 4, Bunge hilo lilipoanza mpaka jana Julai 5 lilipoahirishwa. Yalikuwapo mambo ya kisheria, kiuchumi na kijamii ambayo yaliibuka na kushughulikiwa ipasavyo na chombo hicho cha kutunga sheria.

Adhabu za wabunge

Katika Bunge hilo, adhabu ya kihistoria ilitolewa kwa wabunge wawili wa Chadema; Halima Mdee (Kawe) na Ester Bulaya (Bunda Mjini) ambao ‘wamehukumiwa’ kukaa nje ya vikao vya Bunge kwa mwaka mzima.

Adhabu hiyo ilitolewa baada ya kutiwa hatiani kwa kudaiwa kuvunja kanuni za Bunge wakati Spika Job Ndugai alipoamuru Mbunge wa Kibamba, John Mnyika atolewe nje ya ukumbi kwa kosa la kubishana naye. Katika tukio hilo, Mnyika aliadhibiwa kutohudhuria vikao vya Bunge kwa wiki moja. Kutokana na adhabu kwa wabunge wake wawili, Chadema imeliwasilisha shauri Mahakama Kuu ikiomba itengue hukumu hiyo kwa maelezo kwamba ipo nje ya uwezo wa Bunge.

Nusura wabunge wazichape

Hukumu waliyopewa Mdee na Bulaya ilichangiwa na maazimio yaliyotolewa na Mbunge wa Viti Maalumu mkoani Songwe, Juliana Shonza.

Kwa kile kinachoonekana kuwapo kwa visasi baina yao, wakati vikao vikikaribia kumalizika, wabunge wanane wa upinzani wanaidawa kumshambulia Shonza na sasa wanakabiliwa na kesi na moja wa wabunge hao wa upinzani, Saed Kubenea jana alifikishwa mahakamani kutokana na sakata hilo lililotokea Jumatatu wiki hii.

Miswada

Katika wiki za mwisho za Bunge hilo, miswada minne ilipitishwa ikiwamo mitatu iliyowasilishwa kwa hati ya dharura ambayo kwa kiasi kikubwa ilizungumzia mabadiliko ya sekta ya madini. Mmoja, ni wa sheria ya marekebisho ya sheria mbalimbali namba moja wa mwaka 2017, uliojadiliwa na kupitishwa jana.

Miswada hiyo imehitimisha hoja ya siku nyingi ya wapinzani waliotaka kufanyika kwa marekebisho kwenye sheria, sera na mikataba ya madini ambayo ilionekana hailinufaishi Taifa kama inavyotakiwa.

Hata hivyo, miswada hiyo iliyowasilishwa kwa hati ya dhahura, ilipingwa na kambi ya upinzani kwa maelezo kwamba muda uliotolewa haukutosha kuwashirikisha wadau wote hasa wachimbaji wadogo na wananchi waliopo kwenye maeneo yenye machimbo au migodi ya madini.

Katika mchakato wa mijadala hiyo, Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe aliweka pembeni tofauti zake na msaidizi wake mwandamizi wa zamani ambaye sasa ni Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe akimuunga mkono kuhusu hoja yake ya kutaka uwepo muundo wa uzalishaji wa madini akisema ndicho kitu muhimu cha kuzingatiwa kwenye sheria mpya.

Kamati ya Tanzanite

Wakati wa mjadala wa makadirio ya Wizara ya Nishati ya Madini, Kamati ya Nishati na Madini iliwasilisha ripoti ya ziara yake na kupendekeza kufanyika kwa mabadiliko ya usimamizi katika machimbo ya Tanzanite yaliyo chini ya Kampuni ya Tanzanite One (TML). Mwenyekiti wa kamati hiyo, Dotto Biteko alisema kampuni hiyo imekuwa ikitoa taarifa za uongo na kwamba imebaini udanganyifu inaofanya dhidi ya mwekezaji mwenza, Stamico na kuiokosesha Serikali mapato stahili.

Kutokana na mapendekezo ya kamati, Spika Ndugai aliunda kamati ya watu tisa itakayoanza kazi Julai 10 kuchungua suala hilo. Kubwa litakalofanywa ndani ya siku 30 ilizopewa ni kuuchambua mkataba kati ya Shirika la Taifa la Uchimbaji wa madini (Stamico) na TML na kubainisha faida na hasara kutokana na ubia uliopo.

Pia itatathmini mfumo wa uchimbaji, usimamizi na udhibiti wa biashara ya tanzanite na inavyoweza kuchangia zaidi katika uchumi wa Taifa. Kwenye ripoti, inatakiwa kubainisha na kushauri utaratibu bora unaoweza kutumika kusimamia uchimbaji na biashara hiyo.

Kukosekana kwa Waziri wa Nishati

Tangu kutenguliwa kwa uwaziri wa Profesa Sospeter Muhongo, aliyekuwa anaongoza Wizara ya Nishati na Madini mwishoni mwa Mei, wizara hiyo imeendelea kubaki bila kiongozi.

Muhongo aliondolewa baada ya kamati iliyoundwa na Rais John Magufuli kuibua madudu kadhaa katika biashara ya madini nchini. Wakati uamuzi huo unafanywa na Rais John Magufuli, makadirio ya mapato na matumizi ya wizara hiyo yalikuwa bado hayajawasilishwa bungeni hivyo, hoja zake ama zilijibiwa na naibu waziri au mawaziri wengine.

Muswada wa fedha

Baada ya kupitisha bajeti ya Sh31.7 trilioni, Bunge pia lilipitisha Muswada wa Sheria ya Fedha wa mwaka 2017 ili kuwezesha ukusanyaji wa mapato kufanikisha matumizi na utekelezaji wa miradi ya maendeleo.

Katika marekebisho yaliyofanywa, wafanyabiashara wadogo wanaofanya biashara katika maeneo yasiyo rasmi wametambuliwa na kuanzia sasa watakuwa na vitambulisho rasmi.

Muswada huo pia unawagusa wachimbaji wadogo wa madini, kampuni zinazopata hasara, taasisi zisizo za Serikali (NGO), wasafirishaji wa maua nje ya nchi na wachimbaji wadogo ambao kuanzia mwezi huu, wataanza kulipa kodi. Kwenye mabadiliko yaliyopendekezwa, kodi ya majengo iliyokuwa chini ya halmashauri sasa inakusanywa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA).

Kutenguliwa na kuteuliwa mawaziri

Wiki moja kabla ya vikao vya Bunge kuanza, Rais Magufuli alifanya mabadiliko madogo ya Baraza la Mawaziri. Alimuengua aliyekuwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye na kumwingiza Profesa Palamagamba Kabudi bungeni akiwa Waziri wa Katiba na Sheria.

Profesa Kabudi alichukua nafasi ya Dk Harrison Mwakyembe aliyemrithi Nape ambaye sasa anabaki kuwa Mbunge wa Mtama.

Profesa Kabudi ndiye aliyesimamia mabadiliko ya sheria kadhaa ambazo miswada yake iliwasilishwa, kujadiliwa na kupitishwa na Bunge.

Miswada iliyopitishwa imependekeza kuvunjwa kwa Wakala wa Ukaguzi wa Madini (TMAA), kupunguzwa kwa mamlaka ya waziri wa nishati na madini na kamishna wa madini huku ikianzishwa taasisi nyingine ya usimamizi.

Mengine ni kuanzishwa kwa kamisheni ya madini itakayokuwa na wajumbe tisa, Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kuanza kutunza dhahabu na vito kama sehemu ya akiba ya Serikali na kuimarisha ulinzi kwenye migodi na machimbo yote na kujengwa kwa maghala na kuanzishwa kwa masoko maalumu ya madini.

Wabunge wa Chadema Eala

Miongoni mwa matukio yatakayokumbukwa katika Bunge safari hii ni mshikemshike wakati Bunge lilipowachagua wabunge tisa kuliwakilisha Taifa, Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (Eala).

Hata hivyo katika uchaguzi wa kwanza, majina mawili yaliyowasilishwa na Chadema; Ezekeah Wenje na Lawrence Masha yalipigwa chini baada ya kuzidiwa na kura nyingi za ‘hapana’.

Hata hivyo, chama hicho kilipopeleka majina kwa mara ya pili, waliochaguliwa kuhitimisha idadi ya wabunge tisa ni Josephine Lemoyan na Pamela Massay.

Awali, wabunge waliochaguliwa kuiwakilisha Tanzania kwa upande wa CCM ni Fancy Nkuhi, Happines Legiko, Maryam Ussi Yahya, Dk Abdullah Makame, Dk Ngawaru Maghembe na Alhaj Adam Kimbisa. Kwa upande wa CUF ni Habib Mnyaa.

Makinikia

Baada kukabidhiwa kwa ripoti ya pili ya uchunguzi wa usafirishaji wa mchanga wa dhahabu nje ya nchi na kamati ya Rais, mjadala mkubwa wa makinikia ulitawala bungeni.

Ripoti hiyo iliyowasilishwa Juni 13, ilibainisha upungufu kadhaa kwenye mkataba wa kampuni ya Acacia inayochimba na kumiliki dhahabu kwenye migodi ya North Mara, Bulyanhulu na Buzwagi. Moto uliongezeka zaidi baada ya Mwenyekiti ya Kampuni ya Barrick Gold inayoimiliki Acacia, Profesa John Thornton kuja nchini na kukutana na Rais Magufuli na kukubali kufanya mazungumzo ili kupata muafaka wa sakata hilo.

Acacia wamewasilisha mgogoro huo na Serikali kwenye mahakama ya usuluhishi.

Kamati ya almasi

Spika wa Bunge, Job Ndugai jana aliunda Kamati Maalumu ya ushauri kuhusu mfumo wa usimamizi, umiliki na udhibiti wa madini ya almasi ambayo inajumuisha wabunge tisa.

Kamati hiyo itaongozwa na Mbunge wa Ilala (CCM), Mussa Azzan Zungu. Akitangaza kamati hiyo muda mfupi kabla ya kuahirisha Bunge jana, Spika Ndugai alisema aliiteua kwa kuzingatia vigezo vya taaluma, uzoefu, pande za Muungano, jinsia na uwakilishi wa vyama vya siasa bungeni.

Alisema itakapobidi, kamati hiyo itafanya ziara katika maeneo mbalimbali kwa kuzingatia muda wake wa kazi, bajeti na ulazima wa kufanya hivyo.

“Katika kutekeleza majukumu yake, kamati itashauriwa kwa karibu na sekretarieti itakayoteuliwa na Katibu wa Bunge,” alisema Ndugai.

Aliwataja wajumbe wa kamati hiyo kuwa ni Dk Immaculate Sware (Viti Maalumu - Chadema), Shally Raymond (Viti Maalumu – CCM) na Rashid Ali Abdallah (Tumbe - CUF).

Wengine ni Allan Kiula (Iramba Mashariki - CCM), Restituta Mbogo, (Viti Maalumu -CCM), Ahmed Juma Ngwali, (Ziwani - CUF), Richard Ndassa ( Sumve – CCM) na Emmanuel Mwakasaka (Tabora Mjini - CCM).

“Kamati hiyo itafanya kazi kwa muda wa siku 30 kuanzia Julai 10, 2017. Kituo kikuu cha kazi kitakuwa katika Ofisi ya Bunge hapa Dodoma,” alisema.

Hadidu za rejea za kamati hiyo ni kuchambua taarifa za Tume na Kamati mbalimbali zilizowahi kuundwa na Serikali kwa ajili ya kushughulikia mfumo wa uchimbaji, usimamizi, umiliki na udhibiti wa madini ya almasi nchini na kuona mapendekezo yake na namna yalivyotekelezwa na Serikali.

Nyingine ni kutathmini mfumo uliopo wa uchimbaji, usimamizi na udhibiti wa biashara ya madini ya almasi nchini na kubainisha manufaa ambayo Serikali inapata kutokana na uwekezaji uliopo.

Nyingine alisema ni, “Kubainisha na kushauri kuhusu utaratibu bora unaoweza kutumika katika kusimamia uwekezaji, uchimbaji na biashara ya madini ya almasi nchini.”

Alisema kamati hiyo itatathimini mfumo wa uchimbaji, usimamizi, umiliki na udhibiti wa madini ya almasi nchini kisha kuandaa mapendekezo kwa ajili ya kuishauri Serikali kuhusiana na uendeshaji bora wa biashara ya madini hayo nchini. Alisema uamuzi huo umetokana na Rais John Magufuli kupendekeza Bunge liunde kamati ya kuchunguza na kufuatilia madini hayo.

July 06, 2017

MAMBO 10 Yaliyolivuruga Bunge la Bajeti....


Kuhitimishwa kwa Bunge la bajeti kumeacha kumbukumbu kumi muhimu ambazo kama ulikuwa hufuatilii kilichokuwa kikiendelea kwa siku hizo 92, leo tunakukumbusha.

Yapo mengi; yaliyofurahisha, yaliyotia simanzi na hata kufikirisha. Hayo yote yalijiri tangu Aprili 4, Bunge hilo lilipoanza mpaka jana Julai 5 lilipoahirishwa. Yalikuwapo mambo ya kisheria, kiuchumi na kijamii ambayo yaliibuka na kushughulikiwa ipasavyo na chombo hicho cha kutunga sheria.

Adhabu za wabunge

Katika Bunge hilo, adhabu ya kihistoria ilitolewa kwa wabunge wawili wa Chadema; Halima Mdee (Kawe) na Ester Bulaya (Bunda Mjini) ambao ‘wamehukumiwa’ kukaa nje ya vikao vya Bunge kwa mwaka mzima.

Adhabu hiyo ilitolewa baada ya kutiwa hatiani kwa kudaiwa kuvunja kanuni za Bunge wakati Spika Job Ndugai alipoamuru Mbunge wa Kibamba, John Mnyika atolewe nje ya ukumbi kwa kosa la kubishana naye. Katika tukio hilo, Mnyika aliadhibiwa kutohudhuria vikao vya Bunge kwa wiki moja. Kutokana na adhabu kwa wabunge wake wawili, Chadema imeliwasilisha shauri Mahakama Kuu ikiomba itengue hukumu hiyo kwa maelezo kwamba ipo nje ya uwezo wa Bunge.

Nusura wabunge wazichape

Hukumu waliyopewa Mdee na Bulaya ilichangiwa na maazimio yaliyotolewa na Mbunge wa Viti Maalumu mkoani Songwe, Juliana Shonza.

Kwa kile kinachoonekana kuwapo kwa visasi baina yao, wakati vikao vikikaribia kumalizika, wabunge wanane wa upinzani wanaidawa kumshambulia Shonza na sasa wanakabiliwa na kesi na moja wa wabunge hao wa upinzani, Saed Kubenea jana alifikishwa mahakamani kutokana na sakata hilo lililotokea Jumatatu wiki hii.

Miswada

Katika wiki za mwisho za Bunge hilo, miswada minne ilipitishwa ikiwamo mitatu iliyowasilishwa kwa hati ya dharura ambayo kwa kiasi kikubwa ilizungumzia mabadiliko ya sekta ya madini. Mmoja, ni wa sheria ya marekebisho ya sheria mbalimbali namba moja wa mwaka 2017, uliojadiliwa na kupitishwa jana.

Miswada hiyo imehitimisha hoja ya siku nyingi ya wapinzani waliotaka kufanyika kwa marekebisho kwenye sheria, sera na mikataba ya madini ambayo ilionekana hailinufaishi Taifa kama inavyotakiwa.

Hata hivyo, miswada hiyo iliyowasilishwa kwa hati ya dhahura, ilipingwa na kambi ya upinzani kwa maelezo kwamba muda uliotolewa haukutosha kuwashirikisha wadau wote hasa wachimbaji wadogo na wananchi waliopo kwenye maeneo yenye machimbo au migodi ya madini.

Katika mchakato wa mijadala hiyo, Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe aliweka pembeni tofauti zake na msaidizi wake mwandamizi wa zamani ambaye sasa ni Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe akimuunga mkono kuhusu hoja yake ya kutaka uwepo muundo wa uzalishaji wa madini akisema ndicho kitu muhimu cha kuzingatiwa kwenye sheria mpya.

Kamati ya Tanzanite

Wakati wa mjadala wa makadirio ya Wizara ya Nishati ya Madini, Kamati ya Nishati na Madini iliwasilisha ripoti ya ziara yake na kupendekeza kufanyika kwa mabadiliko ya usimamizi katika machimbo ya Tanzanite yaliyo chini ya Kampuni ya Tanzanite One (TML). Mwenyekiti wa kamati hiyo, Dotto Biteko alisema kampuni hiyo imekuwa ikitoa taarifa za uongo na kwamba imebaini udanganyifu inaofanya dhidi ya mwekezaji mwenza, Stamico na kuiokosesha Serikali mapato stahili.

Kutokana na mapendekezo ya kamati, Spika Ndugai aliunda kamati ya watu tisa itakayoanza kazi Julai 10 kuchungua suala hilo. Kubwa litakalofanywa ndani ya siku 30 ilizopewa ni kuuchambua mkataba kati ya Shirika la Taifa la Uchimbaji wa madini (Stamico) na TML na kubainisha faida na hasara kutokana na ubia uliopo.

Pia itatathmini mfumo wa uchimbaji, usimamizi na udhibiti wa biashara ya tanzanite na inavyoweza kuchangia zaidi katika uchumi wa Taifa. Kwenye ripoti, inatakiwa kubainisha na kushauri utaratibu bora unaoweza kutumika kusimamia uchimbaji na biashara hiyo.

Kukosekana kwa Waziri wa Nishati

Tangu kutenguliwa kwa uwaziri wa Profesa Sospeter Muhongo, aliyekuwa anaongoza Wizara ya Nishati na Madini mwishoni mwa Mei, wizara hiyo imeendelea kubaki bila kiongozi.

Muhongo aliondolewa baada ya kamati iliyoundwa na Rais John Magufuli kuibua madudu kadhaa katika biashara ya madini nchini. Wakati uamuzi huo unafanywa na Rais John Magufuli, makadirio ya mapato na matumizi ya wizara hiyo yalikuwa bado hayajawasilishwa bungeni hivyo, hoja zake ama zilijibiwa na naibu waziri au mawaziri wengine.

Muswada wa fedha

Baada ya kupitisha bajeti ya Sh31.7 trilioni, Bunge pia lilipitisha Muswada wa Sheria ya Fedha wa mwaka 2017 ili kuwezesha ukusanyaji wa mapato kufanikisha matumizi na utekelezaji wa miradi ya maendeleo.

Katika marekebisho yaliyofanywa, wafanyabiashara wadogo wanaofanya biashara katika maeneo yasiyo rasmi wametambuliwa na kuanzia sasa watakuwa na vitambulisho rasmi.

Muswada huo pia unawagusa wachimbaji wadogo wa madini, kampuni zinazopata hasara, taasisi zisizo za Serikali (NGO), wasafirishaji wa maua nje ya nchi na wachimbaji wadogo ambao kuanzia mwezi huu, wataanza kulipa kodi. Kwenye mabadiliko yaliyopendekezwa, kodi ya majengo iliyokuwa chini ya halmashauri sasa inakusanywa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA).

Kutenguliwa na kuteuliwa mawaziri

Wiki moja kabla ya vikao vya Bunge kuanza, Rais Magufuli alifanya mabadiliko madogo ya Baraza la Mawaziri. Alimuengua aliyekuwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye na kumwingiza Profesa Palamagamba Kabudi bungeni akiwa Waziri wa Katiba na Sheria.

Profesa Kabudi alichukua nafasi ya Dk Harrison Mwakyembe aliyemrithi Nape ambaye sasa anabaki kuwa Mbunge wa Mtama.

Profesa Kabudi ndiye aliyesimamia mabadiliko ya sheria kadhaa ambazo miswada yake iliwasilishwa, kujadiliwa na kupitishwa na Bunge.

Miswada iliyopitishwa imependekeza kuvunjwa kwa Wakala wa Ukaguzi wa Madini (TMAA), kupunguzwa kwa mamlaka ya waziri wa nishati na madini na kamishna wa madini huku ikianzishwa taasisi nyingine ya usimamizi.

Mengine ni kuanzishwa kwa kamisheni ya madini itakayokuwa na wajumbe tisa, Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kuanza kutunza dhahabu na vito kama sehemu ya akiba ya Serikali na kuimarisha ulinzi kwenye migodi na machimbo yote na kujengwa kwa maghala na kuanzishwa kwa masoko maalumu ya madini.

Wabunge wa Chadema Eala

Miongoni mwa matukio yatakayokumbukwa katika Bunge safari hii ni mshikemshike wakati Bunge lilipowachagua wabunge tisa kuliwakilisha Taifa, Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (Eala).

Hata hivyo katika uchaguzi wa kwanza, majina mawili yaliyowasilishwa na Chadema; Ezekeah Wenje na Lawrence Masha yalipigwa chini baada ya kuzidiwa na kura nyingi za ‘hapana’.

Hata hivyo, chama hicho kilipopeleka majina kwa mara ya pili, waliochaguliwa kuhitimisha idadi ya wabunge tisa ni Josephine Lemoyan na Pamela Massay.

Awali, wabunge waliochaguliwa kuiwakilisha Tanzania kwa upande wa CCM ni Fancy Nkuhi, Happines Legiko, Maryam Ussi Yahya, Dk Abdullah Makame, Dk Ngawaru Maghembe na Alhaj Adam Kimbisa. Kwa upande wa CUF ni Habib Mnyaa.

Makinikia

Baada kukabidhiwa kwa ripoti ya pili ya uchunguzi wa usafirishaji wa mchanga wa dhahabu nje ya nchi na kamati ya Rais, mjadala mkubwa wa makinikia ulitawala bungeni.

Ripoti hiyo iliyowasilishwa Juni 13, ilibainisha upungufu kadhaa kwenye mkataba wa kampuni ya Acacia inayochimba na kumiliki dhahabu kwenye migodi ya North Mara, Bulyanhulu na Buzwagi. Moto uliongezeka zaidi baada ya Mwenyekiti ya Kampuni ya Barrick Gold inayoimiliki Acacia, Profesa John Thornton kuja nchini na kukutana na Rais Magufuli na kukubali kufanya mazungumzo ili kupata muafaka wa sakata hilo.

Acacia wamewasilisha mgogoro huo na Serikali kwenye mahakama ya usuluhishi.

Kamati ya almasi

Spika wa Bunge, Job Ndugai jana aliunda Kamati Maalumu ya ushauri kuhusu mfumo wa usimamizi, umiliki na udhibiti wa madini ya almasi ambayo inajumuisha wabunge tisa.

Kamati hiyo itaongozwa na Mbunge wa Ilala (CCM), Mussa Azzan Zungu. Akitangaza kamati hiyo muda mfupi kabla ya kuahirisha Bunge jana, Spika Ndugai alisema aliiteua kwa kuzingatia vigezo vya taaluma, uzoefu, pande za Muungano, jinsia na uwakilishi wa vyama vya siasa bungeni.

Alisema itakapobidi, kamati hiyo itafanya ziara katika maeneo mbalimbali kwa kuzingatia muda wake wa kazi, bajeti na ulazima wa kufanya hivyo.

“Katika kutekeleza majukumu yake, kamati itashauriwa kwa karibu na sekretarieti itakayoteuliwa na Katibu wa Bunge,” alisema Ndugai.

Aliwataja wajumbe wa kamati hiyo kuwa ni Dk Immaculate Sware (Viti Maalumu - Chadema), Shally Raymond (Viti Maalumu – CCM) na Rashid Ali Abdallah (Tumbe - CUF).

Wengine ni Allan Kiula (Iramba Mashariki - CCM), Restituta Mbogo, (Viti Maalumu -CCM), Ahmed Juma Ngwali, (Ziwani - CUF), Richard Ndassa ( Sumve – CCM) na Emmanuel Mwakasaka (Tabora Mjini - CCM).

“Kamati hiyo itafanya kazi kwa muda wa siku 30 kuanzia Julai 10, 2017. Kituo kikuu cha kazi kitakuwa katika Ofisi ya Bunge hapa Dodoma,” alisema.

Hadidu za rejea za kamati hiyo ni kuchambua taarifa za Tume na Kamati mbalimbali zilizowahi kuundwa na Serikali kwa ajili ya kushughulikia mfumo wa uchimbaji, usimamizi, umiliki na udhibiti wa madini ya almasi nchini na kuona mapendekezo yake na namna yalivyotekelezwa na Serikali.

Nyingine ni kutathmini mfumo uliopo wa uchimbaji, usimamizi na udhibiti wa biashara ya madini ya almasi nchini na kubainisha manufaa ambayo Serikali inapata kutokana na uwekezaji uliopo.

Nyingine alisema ni, “Kubainisha na kushauri kuhusu utaratibu bora unaoweza kutumika katika kusimamia uwekezaji, uchimbaji na biashara ya madini ya almasi nchini.”

Alisema kamati hiyo itatathimini mfumo wa uchimbaji, usimamizi, umiliki na udhibiti wa madini ya almasi nchini kisha kuandaa mapendekezo kwa ajili ya kuishauri Serikali kuhusiana na uendeshaji bora wa biashara ya madini hayo nchini. Alisema uamuzi huo umetokana na Rais John Magufuli kupendekeza Bunge liunde kamati ya kuchunguza na kufuatilia madini hayo.