Breaking

Tafiti: Maji ya Mto Msimbazi yana Sumu

MAJI ya Mtu Msimbazi yamebainika Kuwa yana 'sumu'  ambayo hayawezi kuwa Makazi salama kwa viumbe hai
Serikali imechukua sampuli ya maji ya Mto huo kwa ajili ya kayafanyia Tafititi ili kubaini kiwango cha sumu na ubora wa maji yake kwa matumizi ya binadamu.
Emanuel Gwae, Meneja wa  Maabara ya Mazingira  wa Ofisi ya Mkemia Mkuu, amsema kuwa maji hayo hayana oksijeni ya kiwango cha  milimita3.3  alipokuwa akitoa matokeo ya awali kwa wandishi wa habari leo, 
Amesema  kuwa maji  hayo sio salama kwa viumbe hai

No comments:

Post a Comment